PACKAGE OF TODAY:Pendo letu kwa wengine linazimwa na wingi wa makosa

 Ikiwa Pendo letu kwa wengine linazimwa na wingi wa makosa  watu waliowahi kufanya kwenye maisha yetu, Bado hatujapenda


Mathayo  5:46 NEN

Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mtapata thawabu gani? Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo?


Previous
Next Post »