SOW

John 4:23

Menu
  • Mwanzo
  • Nyimbo
  • Mafundisho
  • Matukio
    • Picha
    • Video
  • Package of Today
Nje ya Kristo usijivune

Nje ya Kristo usijivune

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:24:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Nimegundua katika maisha,  njia tuiendeayo ni Mungu pekee anayeijua.... kuna leo yetu ambayo miaka kadhaa  nyuma hakukua na mazingira yenye...
Read More
Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:21:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Tukijihubiri sisi tunaamsha hisia za watu ambazo Baada ya muda hupotea. Tukimuhubiri Kristo, hatuamshi hisia ila huleta wokovu kwa kila ana...
Read More
TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:20:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
  Mungu mwenyewe aliichukia dhambi lakini hajawahi kutumia ukali kuiondoa dhambi. Kwa upendo alimtoa Yesu ili aziondoe dhambi zetu. Ikiwa Mu...
Read More
Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:18:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Watu hucheua kile walichokula, ndivyo ilivyo kwenye ufahamu, ukiingiza ujinga utacheua ujinga, ukiingiza Neno utacheua Neno. Hakuna neutral...
Read More
Unanyenyekea au unajikweza?

Unanyenyekea au unajikweza?

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:16:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 UNYENYEKEVU ✍🏻📚 Moja ya madarasa ambayo huenda yakakupelekea kujiona kama unaonewa, huheshimiwi, huthaminiwi ni dasara la unyenyekevu. Ku...
Read More
Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:14:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Namna tunaishi na jamii ya kanisani ingefanana na namna tunaishi na jamii inayotuzunguka nje ya kanisa tusingehitaji kushuhudia, kwa matendo...
Read More
Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:10:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 *KUCHUKULIANA* Ukweli ni kwamba Kila mmoja anao udhaifu. Ni nini unafanya pale unaposikia/ unapotambua udhaifu wa Rafiki yako? Je unamuacha...
Read More
Tufurahi katika Bwana sikuzote

Tufurahi katika Bwana sikuzote

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:08:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Hatufurahi katika hali tunayopitia Bali tunafurahi katika Bwana. Furaha yetu haizalishwi na mambo kuwa shwari au kutokua shwari,  Furaha yet...
Read More
Subscribe to: Posts (Atom)

Judith Mbilinyi

Ashery Willy

Sound of worship

Matangazo

Popular

  • Ezekia John_Unaweza Bwana
    Ezekia John_Unaweza Bwana
    Download
  • Eunice Mtanvu
       Artist   : Eunice Mtavu Song    : Ahsante Yesu Album : Sikiliza Hapa: Download
  • Judith Mbilinyi_Wamekosa nini?
    Judith Mbilinyi_Wamekosa nini?
    Jina       :  Judith Mbilinyi Wimbo : Wamekosa nini? Album  : Wamekosa nini? Pakua Mawasiliano: Facebook | | Instagr...
  • Boaz Danken_Nani Kama wewe
    Boaz Danken_Nani Kama wewe
    Jina       : Boaz Danken Wimbo  : Nani kama wewe  Albamu : Producer: Studio    : Download Mshirikishe na mwenzako. Facebo...
  • Ashery Willy_Yesu atakufuta machozi
    Ashery Willy_Yesu atakufuta machozi
  • Fanya jambo_Anosisye Ford
    Fanya jambo_Anosisye Ford
    Anosisye Ford ni mwimbaji wa nyimbo za injili ambaye ni chipukizi. Alianza huduma ya uimbaji akiwa mdogo na sasa hivi amefanikiwa kurekodi A...
  • PACKAGE OF TODAY: Jifunze kuwa mwenye shukrani
    PACKAGE OF TODAY: Jifunze kuwa mwenye shukrani
      Unapotamani usichonacho kumbuka kuwa wako wengi wanatamani ulichonacho. Jifunze kuwa mtu wa Shukrani hata katika vichache ulivyonavyo. Kwa...
  • PACKAGE OF TODAY: Je, njia unayotumia kutatua tatizo unaichunguza vizuri?
    PACKAGE OF TODAY: Je, njia unayotumia kutatua tatizo unaichunguza vizuri?
      Ni kweli nia ya ndani inaweza kuwa ni kutatua tatizo lakini namna au njia tunayotumia kuondoa/kutatua tatizo inaweza  kuongeza tatizo ling...
  •  PACKAGE OF TODAY: Ujasiri 💪
    PACKAGE OF TODAY: Ujasiri 💪
      Moja ya ujasiri  na kipimo cha nguvu ni kukubali umekosa pale unapogundua umekosa pasipo kujali watu watakuonaje au walikua wana kuchukuli...
  • Rogate Kalengo_Kuna namna
    Jina la Rogate Kalengo siyo jina geni kwa wapenzi wa muziki wa injili nchini Tanzania na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kat...

Tujadili

Followers

Total Pageviews

Copyright © 2017 SOW All Right Reserved
Blogger Templates Created by Arlina Design Powered by Blogger