SOW

John 4:23

Menu
  • Mwanzo
  • Nyimbo
  • Mafundisho
  • Matukio
    • Picha
    • Video
  • Package of Today
Nje ya Kristo usijivune

Nje ya Kristo usijivune

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:24:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Nimegundua katika maisha,  njia tuiendeayo ni Mungu pekee anayeijua.... kuna leo yetu ambayo miaka kadhaa  nyuma hakukua na mazingira yenye...
Read More
Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:21:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Tukijihubiri sisi tunaamsha hisia za watu ambazo Baada ya muda hupotea. Tukimuhubiri Kristo, hatuamshi hisia ila huleta wokovu kwa kila ana...
Read More
TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:20:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
  Mungu mwenyewe aliichukia dhambi lakini hajawahi kutumia ukali kuiondoa dhambi. Kwa upendo alimtoa Yesu ili aziondoe dhambi zetu. Ikiwa Mu...
Read More
Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:18:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Watu hucheua kile walichokula, ndivyo ilivyo kwenye ufahamu, ukiingiza ujinga utacheua ujinga, ukiingiza Neno utacheua Neno. Hakuna neutral...
Read More
Unanyenyekea au unajikweza?

Unanyenyekea au unajikweza?

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:16:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 UNYENYEKEVU ✍๐Ÿป๐Ÿ“š Moja ya madarasa ambayo huenda yakakupelekea kujiona kama unaonewa, huheshimiwi, huthaminiwi ni dasara la unyenyekevu. Ku...
Read More
Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:14:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Namna tunaishi na jamii ya kanisani ingefanana na namna tunaishi na jamii inayotuzunguka nje ya kanisa tusingehitaji kushuhudia, kwa matendo...
Read More
Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:10:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 *KUCHUKULIANA* Ukweli ni kwamba Kila mmoja anao udhaifu. Ni nini unafanya pale unaposikia/ unapotambua udhaifu wa Rafiki yako? Je unamuacha...
Read More
Tufurahi katika Bwana sikuzote

Tufurahi katika Bwana sikuzote

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:08:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Hatufurahi katika hali tunayopitia Bali tunafurahi katika Bwana. Furaha yetu haizalishwi na mambo kuwa shwari au kutokua shwari,  Furaha yet...
Read More
Subscribe to: Posts (Atom)

Judith Mbilinyi

Ashery Willy

Sound of worship

Matangazo

Popular

  • Worship
    Worship is the feeling or expression of deep respect(reverence) and adoration to deity. It is the great affection we have to our creator. Wo...
  • Package of Today: Jifunze kujikumbusha wema wa Mungu
    Kujiwazia vibaya hakuondoi hali yoyote mbaya unayoipitia, ila huongeza uchungu Mara dufu kuliko awali. Jifunze kujikumbusha Wema wa Mungu ha...
  • UTII 2
    Na Wicklif Benjamin   ๐ŸƒMaandiko yana tuambia kwamba *watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa*. Watu wanaangamia si kwamba hawajui vit...
  • Ester Nyanda
    Ester Nyanda
                         Ester Nyanda ni mwimbaji chipukizi wa muziki wa injili. Alianza rasimi kazi ya muziki mwaka 2002 akiwa kama mtunzi na m...
  • MAISHA YA UTAKATIFU
    Na Albert Ochieng✍๐Ÿผ 1Petro 1:14-15 ```Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu. Bali kama yeye aliyewa...
  • Edward Kisusu_Ni wewe umeniita
    Edward Kisusu_Ni wewe umeniita
    Edward Kisusu akitumbuiza kwa wimbo wake wa Ni wewe umeniita, wimbo unaobeba Album yake "Ni wewe umeniita" katika Chuo cha Hombo...
  • Wewe ni mtoto wa Mungu
    "Wewe ni mtoto wa Mungu, mtawala, unatawala naye, umeketi alipoketi Kristo, umeumbwa na kutengenezwa kwa ajili ya ukuu na mambo makuu n...
  • The Harmonies_Tembea nami
    The Harmonies_Tembea nami
    Waimbaji : The Harmonies Wimbo     :  Tembea nami Album      : Brighter Day Sikiliza Hapa: Download
  • KUSUDI I
    KUSUDI I
  • PACKAGE OF TODAY: Amani ya pekee haiko kwenye vitu
     Amani isiyozalishwa na wingi wa vitu tunavyovimiliki yapatikana kwa Yesu pekee. Utoshelevu katika dunia hii haupo kwenye wingi wa vyeo, Ma...

Tujadili

Followers

Total Pageviews

Copyright © 2017 SOW All Right Reserved
Blogger Templates Created by Arlina Design Powered by Blogger