​KWELI/TRUTH.​

​Albert Ochieng​✍🏼

1Yohana 3:1
​Tazameni ni upendo wa namna gani aliotupa Baba kwamba tuitwe wana wa Mungu; na NDIVYO TULIVYO. Kwasababu hii ulimwengu haututambui kwa kuwa haukumtambua yeye.​

Maneno yaliyoko kwenye ​​​BIBLIA​​​ ni ukweli mtupu ambao kama mtu ​​​akiamini na kujibinafsisha​​​ maneno hayo. Hufanywa kiumbe kipya kabisa kilicho zaliwa mara ya pili si kwa mwili wala namna ya kibinadamu bali katika Roho wa Mungu aliehai.

Yesu alikufa ili kuwa kipatanisho na maneno yake ni Injili yenye nguvu iletayo ​​​wokovu katika fahamu.​​​ Tumezaliwa upya katika roho basi hatuna budi kufunzwa mambo ya roho na maneno ya Mungu ni roho tena ni uzima.(yohana 6:63)

​​​Watumie wengine wengi hata tufike miisho ya dunia.​​​🌍

Contact: 0753812881
Insta- Albert-ochieng
Previous
Next Post »