​​​VITA KATIKA UKUAJI KIROHO​​​

​Albert Ochieng​✍🏼

Mathayo 26:41
​​​Kesheni mwombe msije mkaingia majaribuni, roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.​​​

Waliompokea YESU wengj wanatamani kumjua Mungu na kukua kiroho, lakini wanakutana na upinzani katika vita ya ​Roho & Mwili.​ Kwasababu roho i ​​​RADHI​​​ lakini mwili u ​​​DHAIFU​​​ nao unapingana na roho siku zote, nae Ibilisi huutumia huo.

Jambo moja wapo la kufanya ili ukue kiroho hakikisha ​​​MWILI WAKO UKO CHINI YA ROHO YAKO.​​​ Sali katika roho, funga, jilishe lishwa neno, zikatae tamaa za mwili ili roho yako isimame. ​Kufa kimwili na kufufuka katika roho kila siku​

​​​MISTARI YA ZIADA.​​​
Warumi 7:19-23, 8
Wagalatia 5:15-25
Wakolosai 3:1-10

​​​Watumie wengine wengi hata tufike miisho ya dunia.​​​🌍

Contact: 0753812881
Insta- Albert_ochieng
Previous
Next Post »