Watu unaoandamana nao, watakufanya uone mbali au karibu

"Vile unavyoona na kwa umbali wa kiasi gani unaona, kwa sehemu kubwa inachochewa na aina ya watu ambao unawaamini sana kuliko unavyojiamini mwenyewe na hata wakati mwingine unajisahau sana  na kujikuta unaweka tumaini kwao kuliko unavyomwamini na kumtumaini Mungu, kuna watu unawasikiliza zaidi kuliko unavyojisikiliza mwenyewe au unavyomsikiliza aliyekuumba. Hii ni hatari".

*#NGUVU_YA_KUAMBATANA*

Norah Bernard, Divine Favor
Previous
Next Post »