ISHIKILIE IMANI NA WOKOVU ULIONAO USIJE SAHAULIKA

Na Denis Mushi
Image may contain: 1 person, standing

Ezekieli:18.24
Bali mwenye haki atakapoghairi, na kuiacha haki yake, na kutenda uovu, na kufanya machukizo yote kama yale afanyayo mtu mwovu, je, ataishi? Katika matendo yake yote ya haki aliyoyatenda halitakumbukwa hata mojawapo. Katika kosa lile alilolikosa, naam, katika dhambi yake aliyoitenda, atakufa.

Ezekieli:18.32
Maana mimi sikufurahii kufa kwake afaye, asema Bwana MUNGU; basi ghairini, mkaishi.

INAUMA SANA MPENDWA 
Yaan
๐Ÿ‘‰umekaa kwenye WOKOVU miaka na miaka,
๐Ÿ‘‰umefunga vya kutosha,
๐Ÿ‘‰umejitesa mwili wako kwa kwenda huku huko kwaajili ya injili,
๐Ÿ‘‰sadaka za kutosha
๐Ÿ‘‰ umeimba hadi koo kukauka,
๐Ÿ‘‰umefunga alimanusura kuumwa vidonda vya tumbo
๐Ÿ”ฅ Alafu mwisho wa siku kwa KOSA dogo tu unaambiwa *~hayo yote yamefutwa na hayakumbukwi~*

๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข  Kinachouma zaidi ni pale utakapoona uliezoea kupishana nae akijiendea kwenye mambo ya *~ANASA, STAREHE NA YASIFOA HATA KIDOGO~* *MNAPISHANA ANAINGIA KWENYE LANGO LA KULIA ALAFU WE UNAELEKEZWA LANGO LA KUSHOTO*

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ hakika itauma sana lakini ndo ishakua hivo

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ utatamani siku zirudi nyuma *UREKABISHE* ulipo *HARIBU* lakini nafasi hiyo ndo tiyari itakua kama upepo uliokwisha kupita hauwezi kurudi tena

Mpendwa wakati sio wakati wa kulala umefumba macho maana hujuhi ni wakati gani vazi lako litatiwa  DOA

MUHIMU:

Hakikisha kila wakati unatubu na kujitakasa maana zipo DHAMBI MFICHO ambazo kwako yawezekana usizidhanie kuwa ni dhambi, ila mwisho WA siku zikakuponza

Bwana awe nawe mpedwa

Ni hayo TU niliyohitaji kukumbusha

Blessed much brethren
Previous
Next Post »