Na Denis Mushi
Moja kati ya vitu ambavyo nimekuwa nikivitafakari Kwa upana juu ya YAKOBO ni eneo hili la Mahusiano (relationship) simaanishi uhusiano wake na Mungu hapa nazungumzia ule uhusiano mwingine tunaoufahamu
Biblia inasema YAKOBO alisota miaka 14 Kwa ajili ya Rahel aliempenda Sana lakini haikuwa mpango Sanaa Kwa YAKOBO kukaa miaka yote hiyo Ila ni kutokana na desturi na mazingira pia aliyokuwa Kwa wakati ule yalimuamulia kusubiri Kwa miaka 14.
Ebu tusome MWANZO 29:18
"Yakobo akampenda Rahel akasema nitakutumikia Kwa miaka Saba Kwa kumpata Rahel binti yako mdogo"
Yakobo kama walivyo vijana wengine wakiume alikuwa akitamani kuwa na Mpenzi...na Biblia imeweka wazi kabisa kuwa Yakobo aliempenda Rahel...
Kwenye tafsiri ya kingereza anaelezea vizuri
"And Jacob loved Rachel because she was BEAUTIFUL and ATTRACTIVE"
"And Jacob loved Rachel because she was BEAUTIFUL and ATTRACTIVE"
Kila kijana Wa kiume anapenda kuwa na mschana mzuri tena anayevutia ...
Yaani mwenye figure..
😂
😂
Wengine wanasema awe portable
😂
😂na vijisifa vingi tunavijua sisi vijana Wa kiume....


Wengine wanasema awe portable


Ndivyo ilivyo kuwa Kwa Yakobo ijapokuwa Biblia haijaeleza vyote hivyo ...
Yakobo aliempenda Rahel na aliamua KULIPA GHARAMA ya kutumika miaka Saba ili ampate Rahel.
Kitu cha ajabu kinachonifanya nijifunze hapa Kwa Yakobo ni Kuwa
Jacob served seven years for Rachel and they seemed to him but a few days because of LOVE he had for her....
Jacob served seven years for Rachel and they seemed to him but a few days because of LOVE he had for her....




Kuna vitu nimejifunza hapa ngoja nikupatie
👇🏻
👇🏻







MAMBO SITA AMBAYO ROHO MTAKATIFU AMENIFUNZA NA NINA IMANI YATAKUSAIDIA NA WEWE
👇🏻
👇🏻


Jambo la kwanza

Jambo la pili..

Jambo la tatu

Jambo la nne


Jambo la tano

Jambo la sita

KUMBUKAA HILI ...
Uhusiano wako na Mungu ni jambo la msingi la kutengeneza kabla hujawa na uhusiano na mtu mwingine.....
@Dennis Mushi
#kingdomRepresentative
#kingdomRepresentative
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon