SOW

John 4:23

Menu
  • Mwanzo
  • Nyimbo
  • Mafundisho
  • Matukio
    • Picha
    • Video
  • Package of Today
Nje ya Kristo usijivune

Nje ya Kristo usijivune

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:24:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Nimegundua katika maisha,  njia tuiendeayo ni Mungu pekee anayeijua.... kuna leo yetu ambayo miaka kadhaa  nyuma hakukua na mazingira yenye...
Read More
Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Tusijihubiri sisi, tumhubiri Kristo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:21:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Tukijihubiri sisi tunaamsha hisia za watu ambazo Baada ya muda hupotea. Tukimuhubiri Kristo, hatuamshi hisia ila huleta wokovu kwa kila ana...
Read More
TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

TUSIHUBIRI INJILI KWA HASIRA

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:20:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
  Mungu mwenyewe aliichukia dhambi lakini hajawahi kutumia ukali kuiondoa dhambi. Kwa upendo alimtoa Yesu ili aziondoe dhambi zetu. Ikiwa Mu...
Read More
Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Kila unaujaza moyo na akili yako ndicho utakachotoa

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:18:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 Watu hucheua kile walichokula, ndivyo ilivyo kwenye ufahamu, ukiingiza ujinga utacheua ujinga, ukiingiza Neno utacheua Neno. Hakuna neutral...
Read More
Unanyenyekea au unajikweza?

Unanyenyekea au unajikweza?

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:16:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 UNYENYEKEVU ✍🏻📚 Moja ya madarasa ambayo huenda yakakupelekea kujiona kama unaonewa, huheshimiwi, huthaminiwi ni dasara la unyenyekevu. Ku...
Read More
Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Maisha tunayoishi Kanisani, tuyaishi na katika jamii inayotuzunguka

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:14:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Namna tunaishi na jamii ya kanisani ingefanana na namna tunaishi na jamii inayotuzunguka nje ya kanisa tusingehitaji kushuhudia, kwa matendo...
Read More
Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Kila mmoja wetu anaudhaifu wake, tuchukuliane na tubebeane mizigo

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:10:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
 *KUCHUKULIANA* Ukweli ni kwamba Kila mmoja anao udhaifu. Ni nini unafanya pale unaposikia/ unapotambua udhaifu wa Rafiki yako? Je unamuacha...
Read More
Tufurahi katika Bwana sikuzote

Tufurahi katika Bwana sikuzote

Mr. Wicklif M. Benjamin 03:08:00 Add Comment
Mr. Wicklif M. Benjamin
Hatufurahi katika hali tunayopitia Bali tunafurahi katika Bwana. Furaha yetu haizalishwi na mambo kuwa shwari au kutokua shwari,  Furaha yet...
Read More
Pages 1 of 30 12345NextLast
Subscribe to: Posts (Atom)

Judith Mbilinyi

Ashery Willy

  • Matangazo
  • Popular
  • Tujadili

Matangazo

Popular

  • ​​​ULIMWENGU WA ROHO​​​
    ​ Albert Ochieng​✍🏼 Yohana 3:13 ​Wala hakuna mtu aliepaa mbinguni ila yeye ALIYESHUKA kutoka mbinguni yaani mwana wa Adamu.​ Bwana Yes...
  • ​​​VITA KATIKA UKUAJI KIROHO​​​
    ​Albert Ochieng​✍🏼 Mathayo 26:41 ​​​Kesheni mwombe msije mkaingia majaribuni, roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.​​​ Waliompokea YESU...
  • ​​​NENO LA IMANI YA KWELI​​​
    ​Albert Ochieng​✍🏼 Warumi 10:17 ​​​Basi Imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.​​​ ​​​Imani yoyote huja k...
  • MSAMAHA WA KWELI KATIKA UPENDO
    MSAMAHA WA KWELI KATIKA UPENDO
    Na Goodluck Ernest Kilichomfanya Yesu asiondoke msalabani si misumari aliyokuwa amepigiliwa. Msalaba wala misumari havikuwa na uwezo wa k...
  • Kutengwa kwa Walawi 1
    Kutengwa kwa Walawi 1
    Na Norangel Benard. Neno la ufunguzi, utangulizi Hesabu 8:5-18  “5Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, 6Watwae Walawi na kuwaondo...
  • Ndege wafananao huruka pamoja
    "Ndege wanaofanana huruka pamoja, wewe wafananishwa na tai, yakupasa kujifunza tabia za tai, ufahamu ni mazingira gani tai anaishi, nin...
  • Kibali kina nguvu zaidi ya ujuzi
    Na Judith Mbilinyi  Leo nikushirikishe  jambo..  Tambua kuwa kibali kina nguvu zaidi ya ujuzi ulionao,  kuwa na ujuzi pasipo kibali haimfa...
  • Joel Lwaga_Sitabaki kama nilivyo
    Joel Lwaga_Sitabaki kama nilivyo
    Audio
  • Wewe ni mtoto wa Mungu
    "Wewe ni mtoto wa Mungu, mtawala, unatawala naye, umeketi alipoketi Kristo, umeumbwa na kutengenezwa kwa ajili ya ukuu na mambo makuu n...
  • USCF Mwenge Catholic University_Umekuwa mzima
    USCF Mwenge Catholic University_Umekuwa mzima
    Jina       :  USCF Mwenge Catholic University Wimbo : Umekuwa mzima Album  : Umekuwa mzima Pakua Waachie maoni yako hapa...

Tujadili

Followers

Total Pageviews

71,530
Copyright © 2017 SOW All Right Reserved
Blogger Templates Created by Arlina Design Powered by Blogger